Paul Pogba: Machozi na matatizo Turin - mwaka ambao hatawahi kuusahau tangu aliporudi Juventus - Fastestsmm News Swahili

0
Paul Pogba: Machozi na matatizo Turin - mwaka ambao hatawahi kuusahau tangu aliporudi Juventus - Fastestsmm News Swahili

Chanzo cha picha, Getty Images

Maelezo ya picha,

Paul Pogba

Jioni Julai 2022 yenye joto , baridi iliwaingia wachezaji wa Juventus huko mjini. Miaka sita baada ya kuondoka kwenda Manchester United, Paul Pogba alitangaza kurejea katika jiji hilo.

Kwa mashabiki, kile kinachoitwa 'Pogback' kiliwakilisha kurejea kwa maisha ya furaha - kwa timu ya kitambo ambayo ilishinda mataji manne ya nyumbani mfululizo na kufika fainali mbili za Ligi ya Mabingwa mnamo 2015 na 2017.

Mfaransa huyo alingaa kwenye mechi ya kwanza, ambapo alikamilisha mpangilio mzuri wa safu ya kati na Andrea Pirlo, Claudio Marchisio na Arturo Vidal.

Siku iliyofuata, mashabiki walishuka kwenye kituo cha JMedical kumkaribisha Pogba na mchezaji mwingine mpya, Angel di Maria mwenye umri wa miaka 34.

[ad_2] #Paul #Pogba #Machozi #matatizo #Turin #mwaka #ambao #hatawahi #kuusahau #tangu #aliporudi #Juventus #Fastestsmm #News #Swahili

Post a Comment

0Comments
Post a Comment (0)
To Top